PATA TIBA YA KISUKARI NDANI YA SIKU 60 HADI 90

Unaamini kama kisukari kinatibika na kupona kabisaa?....


Basi usiache kusoma hadi mwisho nita kueleza hatua mojamoja hadi matibabu ya mwisho.

KISUKARI KINATIBIKA PATA TAARIFA SAHIHI

Kisukari hutokana na ongezeko la sukari mwilini ambayo haina kazi ambayo husababishwa na changamoto ya insulini.

AINA ZA KISUKARI

Kuna aina kuu mbili za kisukari

Kisukari aina ya kwanza.

Aina hii ya kisukari hutokea kinga ya mwili inapo shambulia seli za kongosho na kongosho kushindwa kuzalisha insulini.


Kisukari aina ya pili

Ni aina ya kisukari kinacho sababishwa na kongosho kuzalisha insulini kwa kiwango kidogo.

Na hii ndiyo aina ya kisukari inayo wakumba watu wengi.


DALILI ZA KISUKARI

Kisukari huonekana kuwa na dalili tofauti tofauti miongoni mwa dalili hizo ni;

  • kukojoa mara kwa mara.
  • kiu kupita kiasi.
  • uchovu usio wa kawaida.
  • kupungua uzito bila sababu.
  • vidonda visivyo pona.
  • upofu wa macho.

mpaka hapo nahisi tumeelewana kuhusu ugonjwa wa kisukari na dalili zake kwa ujumla.


usichoke, sasa nataka uelewe magonjwa yanayo weza kutokana na ugonjwa wa kisukari wa muda mrefu soma ukurasa unao fuata...

𝗠𝗔𝗚𝗢𝗡𝗝𝗪𝗔 𝗬𝗔𝗡𝗔𝗬𝗢 𝗪𝗘𝗭𝗔 𝗞𝗨𝗠𝗣𝗔𝗧𝗔 𝗠𝗚𝗢𝗡𝗝𝗪𝗔 𝗪𝗔 𝗞𝗜𝗦𝗨𝗞𝗔𝗥𝗜 𝗞𝗨𝗧𝗢𝗞𝗔𝗡𝗔 𝗡𝗔 𝗛𝗜𝗦𝗜𝗔 𝗭𝗔 𝗞𝗜𝗦𝗔𝗜𝗞𝗢𝗟𝗢𝗝𝗜𝗔.

Mgonjwa wa kisukari wa muda mrefu anaweza kupitia hisia mbalimbali kutokana na mabadiliko ya sukari mwilini, mabadiliko ya mara kwa mara ya sukari huweza kuibua hisia mbalimbali nje na ugonjwa alio nao na hivyo kusababisha magonjwa mengine njea ya madhara ya sukari, baadhi ya magonjwa hayo ni:-


1. 𝐌𝐚𝐠𝐨𝐧𝐣𝐰𝐚 𝐲𝐚 𝐦𝐨𝐲𝐨 𝐧𝐚 𝐬𝐡𝐢𝐧𝐢𝐤𝐢𝐳𝐨 𝐥𝐚 𝐝𝐚𝐦𝐮.

Hali ya mawazo kupita kiasi kwa mgonjwa wa kisukari huongeza hatari ya kiharusi na mshtuko wa moyo kutokana na hofu inayokuwa ikimtawala kwa muda mrefu.


2. 𝐌𝐚𝐠𝐨𝐧𝐣𝐰𝐚 𝐲𝐚 𝐟𝐢𝐠𝐨 (𝐝𝐢𝐚𝐛𝐞𝐭𝐢𝐜 𝐧𝐞𝐩𝐡𝐫𝐨𝐩𝐚𝐭𝐡𝐲).

Kisukari huathiri kongosho, lakini tatizo kubwa kwenye figo husababishwa na msukumo wa damu usio wa kawaida na uchujaji wa damu unaozidi kiwango kinachohitajika. Hili husababisha kuharibika kwa nefroni (sehemu za uchujaji ndani ya figo), na hatimaye figo kushindwa kufanya kazi vizuri. Pia, wagonjwa wengi hupunguza mazoezi kwa sababu ya uchovu na maumivu, jambo linaloathiri afya ya figo zaidi.


3. 𝐔𝐩𝐨𝐟𝐮 𝐚𝐮 𝐦𝐚𝐭𝐚𝐭𝐢𝐳𝐨 𝐲𝐚 𝐦𝐚𝐜𝐡𝐨 (𝐝𝐢𝐚𝐛𝐞𝐭𝐢𝐜 𝐫𝐞𝐭𝐢𝐧𝐨𝐩𝐚𝐭𝐡𝐲).

Kisukari huathiri macho kwa kusababisha mishipa midogo ya damu kwenye retina kuharibika au kuziba, hali inayojulikana kama retinopathy. Sukari nyingi kwenye damu huharibu ukuta wa mishipa hii, na kusababisha uvujaji wa damu au kujaa kwa majimaji kwenye retina, hali inayosababisha upofu ikiwa haitatibiwa mapema. Shinikizo la damu na msongo wa mawazo vinaweza kuzidisha hali hii kwa kuongeza mzigo kwenye mfumo wa mzunguko wa damu.


4. 𝐕𝐢𝐝𝐨𝐧𝐝𝐚 𝐯𝐢𝐬𝐢𝐯𝐲𝐨𝐩𝐨𝐧𝐚 (𝐝𝐢𝐚𝐛𝐞𝐭𝐢𝐜 𝐟𝐨𝐨𝐭 𝐮𝐥𝐜𝐞𝐫𝐬).

Matatizo ya neva na mzunguko wa damu duni huweza kusababisha vidonda sugu vinavyoweza kupelekea kukatwa viungo.


5. 𝐌𝐚𝐭𝐚𝐭𝐢𝐳𝐨 𝐲𝐚 𝐧𝐞𝐯𝐚.

Kisukari husababisha matatizo ya neva (neuropathy) kutokana na viwango vya juu vya sukari kwenye damu vinavyoharibu nyuzi za neva. Athari hii inaweza kusababisha hisia za ganzi, kuchoma, au maumivu makali hasa kwenye miguu na mikono. Pia, neuropathy inaweza kuathiri mfumo wa mmeng'enyo wa chakula, moyo, na kibofu cha mkojo, hivyo kusababisha matatizo kama vile kuharisha, kushindwa kudhibiti mkojo, au mapigo yasiyo ya kawaida ya moyo.

6. 𝐊𝐮𝐩𝐮𝐧𝐠𝐮𝐚 𝐤𝐰𝐚 𝐤𝐢𝐧𝐠𝐚 𝐲𝐚 𝐦𝐰𝐢𝐥𝐢.

Kisukari hupunguza kinga ya mwili kwa njia kadhaa. Kwanza, sukari nyingi kwenye damu huathiri uwezo wa chembe nyeupe za damu kupambana na maambukizi. Pili, mzunguko duni wa damu huchelewesha uponyaji wa vidonda na huongeza hatari ya maambukizi. Wagonjwa wa kisukari wako katika hatari kubwa ya kupata maambukizi ya bakteria, fangasi, na virusi, hasa kwenye ngozi, mdomo, na mfumo wa mkojo.



7. 𝐊𝐮𝐩𝐮𝐧𝐠𝐮𝐚 𝐤𝐰𝐚 𝐧𝐠𝐮𝐯𝐮 𝐳𝐚 𝐤𝐢𝐮𝐦𝐞 𝐚𝐮 𝐦𝐚𝐭𝐚𝐭𝐢𝐳𝐨 𝐲𝐚 𝐮𝐳𝐚𝐳𝐢.

Kutokana na damu kutembea kwa viwango vya chini na katika hali ya uchafu, madhara huweza pia kutokea kwenye mifumo ya uzazi, kwa wanaume, kisukari kinaweza kusababisha tatizo la nguvu za kiume (erectile dysfunction), na kwa wanawake, huweza kuathiri mzunguko wa hedhi na uzazi.


Hitimisho:

Ni muhimu kwa mgonjwa wa kisukari kudhibiti sukari yake katika hatua za mwanzo kabla ya kufikia hatua ngumu zaidi. Unaweza kutibu sukari mojakwamoja au kuidhibiti kwa jitihada kubwa kwa kuzingatia lishe bora, mazoezi, na dawa wanazopewa ili kupunguza hatari ya madhara haya.

#brighter health. # Kisukari kinatibika. #Supplementary treatment.

HATUA ZA MATIBABU

Mgonjwa wa homa ya kisukari huitaji matibabu kulingana na ukubwa wa changamoto na muda uliokaa na changamoto hiyo na madhara aliyo kwisha kuyapata.

Matibabu ya awali uhusisha matibabu ya mfumo ya mfumo wa damu na uboreshaji wa kinga za mwili (immunal system), na kuboresha afya ya ngozi.


Matibabu awamu ya pili uhusisha dawa za kuimarisha afya ya kongosho na mfumo mzima wa ualishaji wa insulini, kuyeyusha mafuta yaliyo zidi kwenye ini na kuwezesha damu kutembea kwa urahisi pamoja na usafi wa ndani kwa ajili ya kuondoa sumu mwilini.


Matibabu awamu ya tatu huzingatia madhara ya nje aliyo yapata mgonjwa ikiwa ni pamoja na kukausha vidonda, kuzibua mirija ya damu iliyoziba na uchafu wa nje ya mwili ulio sababishwa na mzunguko hafifu wa damu.

FAIDA ZA KUANZA DOSE MAPEMA.

Kuanza dose mara unapogundulika kuwa na kisukari huweza kusaidia kwa kiasi kibwa kwa upande wa mgonjwa, miongoni mwa faida za kuanza dose mapema ni pamoja na;

  • kuepusha madhara ya ziada kama magonjwa ya presha, saratani ya damu, stroke na upofu wa kudumu wa macho.
  • Kusaidia kulinda viungo vyako kukatwa kutokana na kuoza kwa madhara ya sukari.
  • Kupunguza gharama za matibabu kwani madiliko ya mfumo wa mwili hutegemea kiwango cha madhara aliyo yapata mgonjwa na hatua aliyo fikia.

MATIBABU NA DOSE

Dose ya mgonjwa wa kisukari hupatikana katika package ya mwezi, ambayo hupatikana kama ifuatavyo.

  • Ka mgonjwa wa kisukari pekee, dawa yake hupatikana kwa gharama ya sh. 520,000|=Tu
  • Kwa mgonjwa mwenye kisukari, figo, na presha dose yake inapatikana kwa Tsh. 545,000|= Tu.
  • Kwa mwenye kuhitaji dose ya premium (mwezi na nusu) bei yake ni Tsh. 610,000|= Tu.

OFFER

Kwa anaye hitaji dose ya kisukari au kisukari na presha dawa ya miezi miwili kwa mpigo atapokea punguzo la 10% ya bei kwa dose zote.


DOZI

Kuhusu ubora na ufanisi wa bidhaa zetu.

Dawa hizi zimetengenezwa bila mchanganyiko wa kemikali zozote,

zimehaririwa na kuandaliwa kwa vyakula asilia GMO na kuwezeshwa kwa ufanisi zaidi ya asilimia 99.9%.

Hii sio tiba mbadala ni tiba inayo jitegemea kwani haiitaji usaidizi wa dawa nyingine ili kufanya kazi.


Dawa hizi zimethibitishwa na Shirika la viwango Tanzania (TBS) na mamlaka ya chakula na madawa ya binadamu Tanzania (TMDA)

Pia zimethibitishwa kutumika ndani ya mataifa 8 yenyenguvu duniani pamoja na falme za kiarabu.

Bonyeza kitufe hapo chini kwa maelezo zaidi

BOFYA KUAGIZA IKIWA UNAHITAJI DAWA